Methali 30:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Usiongeze chochote katika maneno yake+ asije akakukaripia, wala usionekane kuwa mwongo.+ Ufunuo 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Ninamtolea ushahidi kila mtu anayesikia maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa: Yeyote akiongeza+ kwenye mambo haya, Mungu atamwongezea mapigo+ yaliyoandikwa katika kitabu hiki;
18 “Ninamtolea ushahidi kila mtu anayesikia maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa: Yeyote akiongeza+ kwenye mambo haya, Mungu atamwongezea mapigo+ yaliyoandikwa katika kitabu hiki;