Ayubu 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Humo waovu wameacha msukosuko,+Na humo wale walioishiwa nguvu wanapumzika.+ Mhubiri 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nikauchukia uzima,+ kwa sababu ninavyoona ni kwamba kazi ambayo imefanywa chini ya jua ni yenye msiba,+ kwa maana kila jambo lilikuwa ni ubatili na kufuatilia upepo.+
17 Nami nikauchukia uzima,+ kwa sababu ninavyoona ni kwamba kazi ambayo imefanywa chini ya jua ni yenye msiba,+ kwa maana kila jambo lilikuwa ni ubatili na kufuatilia upepo.+