Methali 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nimeingia kwa urahisi katika kila namna ya ubaya+ katikati ya kutaniko na kusanyiko.”+ Methali 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 mpaka mshale upasue ini lake,+ kama vile ndege anavyofanya haraka kuingia mtegoni,+ naye hajajua kwamba nafsi yake mwenyewe inahusika.+ Methali 7:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana amewafanya wengi waanguke wakiwa wamechinjwa,+ na wote ambao anawaua ni wengi.+ Methali 22:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kinywa cha wanawake wageni ni shimo refu.+ Anayeshutumiwa na Yehova ataanguka ndani yake.+
23 mpaka mshale upasue ini lake,+ kama vile ndege anavyofanya haraka kuingia mtegoni,+ naye hajajua kwamba nafsi yake mwenyewe inahusika.+