Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nikaweka usimamizi wa Yerusalemu chini ya Hanani ndugu yangu na Hanania+ mkuu wa Ngome,+ kwa maana alikuwa mwanamume mwenye kutegemeka+ sana naye alimwogopa+ Mungu wa kweli kuliko wengine wengi.

  • Ayubu 33:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ikiwa kuna mjumbe kwa ajili yake,

      Msemaji, mmoja kati ya elfu,

      Ili kumwambia mwanadamu unyoofu wake,

  • Zaburi 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Uniokoe,+ Ee Yehova, kwa maana mshikamanifu amefikia mwisho;+

      Kwa maana watu waaminifu wametoweka kutoka katikati ya wana wa binadamu.

  • Wafilipi 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana sina mtu mwingine yeyote aliye na mwelekeo kama wake atakayejali+ kwa unyoofu mambo yenu.

  • 2 Petro 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kwa maana mtu huyo mwadilifu kwa yale ambayo aliona na kusikia alipokuwa akikaa katikati yao siku baada ya siku alikuwa akiitesa nafsi yake yenye uadilifu kwa sababu ya vitendo vyao vya kuasi sheria—

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki