Zaburi 119:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo singeona aibu,+Ninapozitazama amri zako zote.+ Waroma 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana wale wanaotawala ni kitu cha kuogopesha, si kwa kitendo chema, bali kwa kibaya.+ Basi, je, unataka usiogope hiyo mamlaka? Endelea kufanya mema,+ nayo itakusifu wewe; Waroma 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo kuna sababu ya lazima kwenu muwe mkijitiisha, si kwa sababu ya ghadhabu hiyo tu, bali pia kwa sababu ya dhamiri+ yenu. 1 Petro 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa kweli, ni nani atakayewadhuru ninyi mkiwa na bidii kwa ajili ya yaliyo mema?+
3 Kwa maana wale wanaotawala ni kitu cha kuogopesha, si kwa kitendo chema, bali kwa kibaya.+ Basi, je, unataka usiogope hiyo mamlaka? Endelea kufanya mema,+ nayo itakusifu wewe;
5 Kwa hiyo kuna sababu ya lazima kwenu muwe mkijitiisha, si kwa sababu ya ghadhabu hiyo tu, bali pia kwa sababu ya dhamiri+ yenu.