Mwanzo 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na ikawa kwamba Isaka alipokuwa mzee na macho yake yalikuwa yameingia giza mno asiweze kuona,+ akamwita Esau mwana wake mkubwa na kumwambia:+ “Mwanangu!” naye akamjibu: “Mimi hapa!” 1 Samweli 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 (Basi Eli alikuwa na umri wa miaka 98, na macho yake yalikuwa yameganda, asiweze kuona.)+
27 Na ikawa kwamba Isaka alipokuwa mzee na macho yake yalikuwa yameingia giza mno asiweze kuona,+ akamwita Esau mwana wake mkubwa na kumwambia:+ “Mwanangu!” naye akamjibu: “Mimi hapa!”