Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana katika wingi wa hekima mna mambo mengi yenye kuudhi,+ hivi kwamba anayeongeza ujuzi anaongeza maumivu.+

  • Matendo 19:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa kweli, hesabu kubwa ya wale waliozoea kufanya ufundi wa uchawi+ wakaleta pamoja vitabu vyao wakaviteketeza mbele ya kila mtu. Nao wakapiga pamoja hesabu za bei zake na kupata vikiwa na thamani ya vipande 50,000 vya fedha.

  • Wakolosai 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mjihadhari: labda kuna mtu ambaye atawachukua+ ninyi kama windo lake kupitia falsafa+ na udanganyifu mtupu+ kulingana na pokeo la wanadamu, kulingana na mambo ya msingi+ ya ulimwengu na si kulingana na Kristo;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki