10 Asipatikane ndani yako yeyote anayempitisha mwana wake au binti yake katikati ya moto,+ yeyote anayefanya uaguzi,+ mwenye kufanya uchawi+ au yeyote anayetafuta ishara za bahati+ au mlozi,+
2 Basi mfalme akaagiza waitwe makuhani wote wenye kufanya uchawi+ na wafanya-mazingaombwe na walozi na Wakaldayo ili wamwambie mfalme ndoto zake.+ Nao wakaingia na kusimama mbele ya mfalme.
9 Sasa katika jiji hilo kulikuwa na mtu fulani aliyeitwa Simoni, ambaye, kabla ya hili, alikuwa akifanya ufundi wa uchawi+ na kushangaza taifa la Samaria, akisema yeye mwenyewe alikuwa mtu mkuu.+