Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Asipatikane ndani yako yeyote anayempitisha mwana wake au binti yake katikati ya moto,+ yeyote anayefanya uaguzi,+ mwenye kufanya uchawi+ au yeyote anayetafuta ishara za bahati+ au mlozi,+

  • Danieli 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi mfalme akaagiza waitwe makuhani wote wenye kufanya uchawi+ na wafanya-mazingaombwe na walozi na Wakaldayo ili wamwambie mfalme ndoto zake.+ Nao wakaingia na kusimama mbele ya mfalme.

  • Matendo 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Sasa katika jiji hilo kulikuwa na mtu fulani aliyeitwa Simoni, ambaye, kabla ya hili, alikuwa akifanya ufundi wa uchawi+ na kushangaza taifa la Samaria, akisema yeye mwenyewe alikuwa mtu mkuu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki