Methali 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hekima ndilo jambo kuu. Jipatie hekima;+ na pamoja na vyote unavyojipatia, jipatie uelewaji.+ Mhubiri 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+
12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+