-
Mhubiri 9:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Wote ni sawa katika lile ambalo wote wanalo.+ Kuna mwisho mmoja+ kwa mwadilifu+ na kwa mwovu,+ mtu mwema na mtu safi na mtu asiye safi, na mtu anayetoa dhabihu na mtu ambaye hatoi dhabihu. Mtu mwema ni sawa na mtenda-dhambi;+ mtu anayekula kiapo ni sawa na yeyote yule ambaye ameogopa kiapo rasmi.+
-
-
Mhubiri 9:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Nilirudi, nikaona chini ya jua kwamba si wenye mbio wanaoshinda katika mbio,+ wala wenye nguvu wanaoshinda katika pigano,+ wala pia wenye hekima wanaopata chakula,+ wala pia wenye uelewaji wanaokuwa na utajiri,+ wala wenye ujuzi wanaopata kibali;+ kwa sababu wakati na tukio lisilotazamiwa huwapata wote.+
-