Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 127:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ni kazi ya bure kwamba ninyi mnaamka mapema,+

      Kwamba mnakaa mpaka kuchelewa,+

      Kwamba mnakula chakula kwa maumivu.+

      Hivi ndivyo anavyompa hata mpendwa wake usingizi.+

  • Mhubiri 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwanadamu anapata faida gani katika kazi yake yote iliyo ngumu anayoifanya+ kwa bidii chini ya jua?+

  • Mhubiri 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mtendaji ana faida gani katika jambo analofanyia kazi ngumu?+

  • Mhubiri 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kuna mtu mmoja, wala hakuna wa pili;+ naye hana mwana wala ndugu,+ lakini kazi yake ngumu haina mwisho. Pia, macho yake mwenyewe hayatosheki na utajiri:+ “Nami ninamfanyia nani kazi yote hii ngumu na kuinyima nafsi yangu mambo mazuri?”+ Hilo pia ni ubatili, nalo ni shughuli yenye msiba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki