2 Samweli 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi ni kama nuru ya asubuhi, jua linapoangaza,Asubuhi isiyo na mawingu.+Kutokana na mwangaza, kutokana na mvua, majani hutoka katika nchi.’+ Isaya 58:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Kama ingekuwa hivyo nuru yako ingetokea kama mapambazuko;+ na kupona kungetokea haraka kwa ajili yako.+ Na uadilifu wako hakika ungetembea mbele yako;+ utukufu wa Yehova ungekuwa ulinzi wako wa nyuma.+
4 Basi ni kama nuru ya asubuhi, jua linapoangaza,Asubuhi isiyo na mawingu.+Kutokana na mwangaza, kutokana na mvua, majani hutoka katika nchi.’+
8 “Kama ingekuwa hivyo nuru yako ingetokea kama mapambazuko;+ na kupona kungetokea haraka kwa ajili yako.+ Na uadilifu wako hakika ungetembea mbele yako;+ utukufu wa Yehova ungekuwa ulinzi wako wa nyuma.+