14 Kwa hiyo Neno akawa mwili,+ akakaa katikati yetu, nasi tukautazama utukufu wake, utukufu kama ule ulio wa mwana mzaliwa-pekee+ kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa fadhili nyingi zisizostahiliwa na kweli.+
23 Kwa imani Musa alifichwa kwa miezi mitatu na wazazi wake baada ya kuzaliwa kwake,+ kwa sababu waliona kwamba huyo mtoto mchanga alikuwa mwenye kupendeza+ nao hawakuliogopa agizo+ la mfalme.