12 Zaidi ya hayo, wakampa kipande cha keki ya tini zilizoshinikizwa na keki mbili za zabibu kavu.+ Ndipo akala na roho+ yake ikarudi kwake; kwa maana hakuwa amekula mkate wala kunywa maji kwa siku tatu, mchana na usiku.
19 Zaidi ya hayo, akawagawia+ watu wote, umati wote wa Israeli, mwanamume na mwanamke vilevile, kila mmoja keki ya mkate ya mviringo na keki ya tende na keki ya zabibu kavu,+ kisha watu wote wakaenda, kila mmoja nyumbani kwake.