Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kuna maono magumu+ ambayo nimeambiwa: Mwenye kutenda kwa hila anatenda kwa hila, na mporaji anapora.+ Nenda juu, Ee Elamu! Zingira, Ee Umedi!+ Nimekomesha kuugua kote kunakosababishwa naye.+

  • Isaya 33:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Ole wako wewe unayepora, bila wewe mwenyewe kuporwa, na wako wewe unayetenda kwa hila, bila wengine  kukutendea kwa hila!+ Mara tu utakapokuwa umemaliza kupora, wewe nawe utaporwa.+ Mara tu utakapokuwa umemaliza kutenda kwa hila, wao watakutendea kwa hila.+

  • Maombolezo 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yeye hulia sana usiku,+ na machozi yake yako kwenye mashavu

      yake.+

      Hana yeyote wa kumfariji kati ya wapenzi wake wote.+

      Wenzake wote wamemtendea kwa hila.+ Wamekuwa adui kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki