3 Kwa maana nitamimina maji juu ya mwenye kiu,+ na vijito vinavyotiririka juu ya mahali pakavu.+ Nitaimimina roho yangu juu ya uzao wako,+ na baraka yangu juu ya wazao wako.
14 Yule atakayekunywa maji ambayo nitampa hatapatwa na kiu hata kidogo,+ lakini maji ambayo nitampa yatakuwa chemchemi ya maji+ ndani yake, inayobubujika ili kutokeza uzima wa milele.”+