11 Je, Hezekia+ siye anayewashawishi+ ninyi ili kuwatoa mfe kwa njaa na kwa kiu, akisema: “Yehova Mungu wetu atatukomboa kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru”?+
10 “Mwambieni hivi Hezekia mfalme wa Yuda, ‘Usiache Mungu unayemtegemea akudanganye,+ na kusema: “Yerusalemu halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+