Ayubu 31:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ikiwa nilikuwa nikishangilia kwa sababu mali yangu ilikuwa nyingi,+Na kwa sababu mkono wangu ulikuwa umepata vitu vingi sana;+ Methali 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Je, umeukazia macho, nao si kitu?+ Kwa maana hakika huo hujifanyia mabawa kama yale ya tai na kuruka kuelekea mbinguni.+
25 Ikiwa nilikuwa nikishangilia kwa sababu mali yangu ilikuwa nyingi,+Na kwa sababu mkono wangu ulikuwa umepata vitu vingi sana;+
5 Je, umeukazia macho, nao si kitu?+ Kwa maana hakika huo hujifanyia mabawa kama yale ya tai na kuruka kuelekea mbinguni.+