8 Yeye anayenitangaza mimi kuwa mwadilifu yupo karibu.+ Ni nani anayeweza kushindana nami? Na tusimame pamoja.+ Ni nani aliye mpinzani wangu katika kesi?+ Na anikaribie.+
2 Sikieni, enyi milima, sikieni kesi ya Yehova, pia ninyi vyombo vya kudumu, ninyi misingi ya dunia;+ kwa maana Yehova ana kesi na watu wake, naye atahojiana na Israeli:+