26 Nami nitawafanya wale wanaokutendea vibaya waile nyama yao; nao watalewa kwa damu yao kana kwamba ni kwa divai tamu. Na wanadamu wote watajua kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako na Mkombozi+ wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+
16 Nawe kwa kweli utanyonya maziwa ya mataifa,+ utanyonya matiti ya wafalme;+ nawe utajua hakika kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako, na Mwenye Nguvu+ wa Yakobo ni Mkombozi+ wako.