10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+
5 mimi pia niliendelea kukuambia tangu wakati ule. Kabla halijaingia, mimi nilikufanya ulisikie,+ ili usiseme, ‘Sanamu yangu mwenyewe imeyafanya, na sanamu yangu ya kuchongwa na sanamu yangu ya kuyeyushwa zimeyaamuru.’+