Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yehova amesema hivi: “Baba zenu walipata jambo gani ndani yangu ambalo halikuwa la haki,+ hivi kwamba wakasimama mbali sana nami,+ nao wakaendelea kufuata sanamu ya ubatili+ na wao wenyewe wakawa ubatili?+

  • Hosea 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na kiburi cha Israeli kimeshuhudia mbele ya uso wake,+ nao hawakurudi kwa Yehova Mungu wao,+ wala hawakumtafuta kwa sababu ya hayo yote.+

  • Mika 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Enyi watu wangu,+ nimewafanya nini? Nami nimewachosha kwa njia gani?+ Toeni ushuhuda juu yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki