Yeremia 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova amesema hivi: “Baba zenu walipata jambo gani ndani yangu ambalo halikuwa la haki,+ hivi kwamba wakasimama mbali sana nami,+ nao wakaendelea kufuata sanamu ya ubatili+ na wao wenyewe wakawa ubatili?+ Hosea 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na kiburi cha Israeli kimeshuhudia mbele ya uso wake,+ nao hawakurudi kwa Yehova Mungu wao,+ wala hawakumtafuta kwa sababu ya hayo yote.+ Mika 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Enyi watu wangu,+ nimewafanya nini? Nami nimewachosha kwa njia gani?+ Toeni ushuhuda juu yangu.+
5 Yehova amesema hivi: “Baba zenu walipata jambo gani ndani yangu ambalo halikuwa la haki,+ hivi kwamba wakasimama mbali sana nami,+ nao wakaendelea kufuata sanamu ya ubatili+ na wao wenyewe wakawa ubatili?+
10 Na kiburi cha Israeli kimeshuhudia mbele ya uso wake,+ nao hawakurudi kwa Yehova Mungu wao,+ wala hawakumtafuta kwa sababu ya hayo yote.+