Zaburi 65:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Utatujibu kwa mambo yenye kuogopesha katika uadilifu,+Ee Mungu wa wokovu wetu,+Tegemeo la mipaka yote ya dunia na wale walio mbali baharini.+ Mika 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+ Yohana 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Kwa maana Mungu aliupenda+ ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee,+ ili kila mtu anayemwamini+ asiangamizwe+ bali awe na uzima wa milele.+
5 Utatujibu kwa mambo yenye kuogopesha katika uadilifu,+Ee Mungu wa wokovu wetu,+Tegemeo la mipaka yote ya dunia na wale walio mbali baharini.+
7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+
16 “Kwa maana Mungu aliupenda+ ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee,+ ili kila mtu anayemwamini+ asiangamizwe+ bali awe na uzima wa milele.+