10 Enyi watu wangu waliopurwa na mwana wa uwanja wangu wa kupuria,+ nimewaletea ninyi habari za yale ambayo nimeyasikia kutoka kwa Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli.
12 “Mimi mwenyewe nimetangaza na kuokoa na kufanya lisikiwe,+ wakati hapakuwa na mungu yeyote mgeni katikati yenu.+ Basi ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova, “nami ni Mungu.+