15 Na Yehova Mungu wa mababu zao akaendelea kutuma juu yao kupitia kwa wajumbe wake,+ akatuma tena na tena, kwa sababu aliwahurumia watu wake+ na makao yake.+
27 Zaidi ya hayo, Isaya anapaaza sauti kuhusu Israeli: “Ijapokuwa hesabu ya wana wa Israeli huenda ikawa kama mchanga wa bahari,+ ni mabaki watakaookolewa.+
20 Lakini Isaya anakuwa mjasiri sana na kusema: “Wale ambao hawakuwa wakinitafuta walinipata;+ nikajifunua kwa wale ambao hawakuwa wakiuliza juu yangu.”+