Zaburi 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Unitunze kama mboni ya jicho,+Katika kivuli cha mabawa yako unifiche,+ Zaburi 36:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Jinsi zilivyo na thamani fadhili zako zenye upendo, Ee Mungu!+Nao wana wa binadamu hupata kimbilio katika kivuli cha mabawa yako.+ Zaburi 57:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+
7 Jinsi zilivyo na thamani fadhili zako zenye upendo, Ee Mungu!+Nao wana wa binadamu hupata kimbilio katika kivuli cha mabawa yako.+
57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+