Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+ Kumbukumbu la Torati 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mwamba aliyekuzaa wewe, ulimsahau,+Nawe ukaanza kumwondoa Mungu katika kumbukumbu, yule anayekutokeza kwa uchungu wa kuzaa.+ 1 Samweli 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova, kwa maana hakuna mwingine isipokuwa wewe;+Na hakuna mwamba ulio kama Mungu wetu.+
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+
18 Mwamba aliyekuzaa wewe, ulimsahau,+Nawe ukaanza kumwondoa Mungu katika kumbukumbu, yule anayekutokeza kwa uchungu wa kuzaa.+
2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova, kwa maana hakuna mwingine isipokuwa wewe;+Na hakuna mwamba ulio kama Mungu wetu.+