14 Wakumbuke+ Tobia+ na Sanbalati, Ee Mungu wangu, kulingana na matendo hayo ya kila mmoja wao, na pia Noadia nabii wa kike+ na wale manabii wengine walioendelea kujaribu kunitia woga.
25 Lakini Yehova amesema hivi: “Hata kundi la mateka la mwanamume mwenye nguvu litachukuliwa,+ na wale waliokwisha kuchukuliwa na mwonevu wataponyoka.+ Nami nitashindana na mtu yeyote anayeshindana nawe,+ nami nitawaokoa wana wako.+