Yeremia 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Rudini, ninyi wana waasi.+ Nitaiponya hali yenu ya uasi.”+ “Sisi hapa! Tumekuja kwako, kwa maana wewe, Ee Yehova, ni Mungu wetu.+ Yeremia 33:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Tazama, ninamletea yeye nguvu na afya;+ nami nitawaponya na kuwafunulia wingi wa amani na kweli.+ Hosea 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Nitaponya ukosefu wao wa uaminifu.+ Nitawapenda kwa kupenda kwangu mwenyewe,+ kwa maana hasira yangu imegeuka kutoka kwake.+
22 “Rudini, ninyi wana waasi.+ Nitaiponya hali yenu ya uasi.”+ “Sisi hapa! Tumekuja kwako, kwa maana wewe, Ee Yehova, ni Mungu wetu.+
4 “Nitaponya ukosefu wao wa uaminifu.+ Nitawapenda kwa kupenda kwangu mwenyewe,+ kwa maana hasira yangu imegeuka kutoka kwake.+