Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na mtu fulani wa Mungu wa kweli+ akamjia, akisema: “Ee mfalme, usiache jeshi la Israeli liende pamoja nawe, kwa maana Yehova hayuko pamoja na Israeli,+ yaani, wana wote wa Efraimu.

  • Isaya 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na wivu wa Efraimu utaondoka,+ na hata wale wanaomwonyesha Yuda uadui watakatiliwa mbali. Efraimu hatamwonea Yuda wivu, wala Yuda hatamwonyesha Efraimu uadui.+

  • Ezekieli 37:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, jichukulie kijiti+ na uandike juu yake, ‘Kwa Yuda na kwa wenzake, wana wa Israeli.’+ Na uchukue kijiti kingine na kuandika juu yake, ‘Kwa Yosefu, kijiti cha Efraimu,+ na wenzake, nyumba yote ya Israeli.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki