7 Na mtu fulani wa Mungu wa kweli+ akamjia, akisema: “Ee mfalme, usiache jeshi la Israeli liende pamoja nawe, kwa maana Yehova hayuko pamoja na Israeli,+ yaani, wana wote wa Efraimu.
16 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, jichukulie kijiti+ na uandike juu yake, ‘Kwa Yuda na kwa wenzake, wana wa Israeli.’+ Na uchukue kijiti kingine na kuandika juu yake, ‘Kwa Yosefu, kijiti cha Efraimu,+ na wenzake, nyumba yote ya Israeli.’+