Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoeli 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Tieni ndani mundu,+ kwa maana mavuno yameiva.+ Njooni, teremkeni, kwa maana shinikizo la divai limejaa.+ Mitungi ya shinikizo inafurika; kwa maana ubaya wao umekuwa mwingi.+

  • Ufunuo 14:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na lile shinikizo la divai likakanyagiwa nje ya jiji,+ na damu ikatoka katika lile shinikizo la divai hata kufikia juu kwenye lijamu za farasi,+ kwa umbali wa stadia elfu moja mia sita.+

  • Ufunuo 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na upanga mrefu mkali unachomoza kutoka kinywani mwake,+ ili ayapige mataifa nao, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma.+ Yeye anakanyaga pia shinikizo la divai+ ya hasira ya ghadhabu ya Mungu+ Mweza-Yote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki