Zaburi 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Yehova, kwa nini unaendelea kusimama mbali?+Kwa nini unaendelea kujificha nyakati za taabu?+ Zaburi 74:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa nini unaendelea kuuondoa mkono wako, naam, mkono wako wa kuume+Kutoka katikati ya kifua chako ili kutumaliza sisi? Zekaria 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi malaika wa Yehova akajibu na kusema: “Ee Yehova wa majeshi, ni mpaka wakati gani utakosa kulionyesha rehema Yerusalemu na majiji ya Yuda,+ ambayo umeshutumu hii miaka 70?”+
11 Kwa nini unaendelea kuuondoa mkono wako, naam, mkono wako wa kuume+Kutoka katikati ya kifua chako ili kutumaliza sisi?
12 Basi malaika wa Yehova akajibu na kusema: “Ee Yehova wa majeshi, ni mpaka wakati gani utakosa kulionyesha rehema Yerusalemu na majiji ya Yuda,+ ambayo umeshutumu hii miaka 70?”+