4 Bado nitakujenga upya nawe kwa kweli utajengwa upya,+ Ee bikira wa Israeli. Bado utajipamba kwa matari yako na kwa kweli utaenda katika dansi ya wale wanaocheka.+
14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+