Mwanzo 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, jambo lolote ni kubwa mno isivyo kawaida kwa Yehova?+ Kwa wakati uliowekwa nitarudi kwako, mwaka ujao wakati huu, na Sara atapata mwana.” Isaya 37:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wakamwambia: “Hezekia amesema hivi, ‘Leo ni siku ya taabu+ na ya kemeo na ya dharau yenye dhihaka,+ kwa maana wana wamefika mpaka kwenye mlango wa tumbo la uzazi, na hakuna nguvu za kuzaa.+
14 Je, jambo lolote ni kubwa mno isivyo kawaida kwa Yehova?+ Kwa wakati uliowekwa nitarudi kwako, mwaka ujao wakati huu, na Sara atapata mwana.”
3 Nao wakamwambia: “Hezekia amesema hivi, ‘Leo ni siku ya taabu+ na ya kemeo na ya dharau yenye dhihaka,+ kwa maana wana wamefika mpaka kwenye mlango wa tumbo la uzazi, na hakuna nguvu za kuzaa.+