16 Basi akamwongoza, akashuka,+ na tazama, walikuwa wameenea bila utaratibu juu ya uso wote wa nchi, wakila na kunywa na kufanya karamu+ kwa sababu ya nyara yote kubwa ambayo walikuwa wamechukua kutoka katika nchi ya Wafilisti na nchi ya Yuda.+
27 Ndipo watu wote wa Yuda na Yerusalemu wakarudi, Yehoshafati akiwa mbele yao, ili warudi Yerusalemu kwa kushangilia, kwa kuwa Yehova alikuwa amewafanya washangilie juu ya adui zao.+