9 Hizi zote zilikuwa za mawe ghali+ kulingana na vipimo, yaliyokatwa, yakachongwa kwa misumeno ya mawe, ndani na nje, na kutoka katika msingi mpaka kwenye kigongo cha ukuta, na upande wa nje mpaka kwenye ule ua mkuu.+
11 Basi, kwa sababu mnamtoza mtu wa hali ya chini kodi ya shamba,+ nanyi mnaendelea kuchukua kutoka kwake ushuru wa nafaka; mmejenga nyumba za mawe yaliyochongwa,+ lakini hamtaendelea kukaa ndani yake; nanyi mmepanda mashamba ya mizabibu yenye kupendeza, lakini hamtaendelea kunywa divai yake.+