2 Wafalme 18:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Iko wapi miungu ya Hamathi+ na Arpadi?+ Iko wapi miungu ya Sefarvaimu,+ Hena+ na Iva?+ Je, imekomboa Samaria kutoka mkononi mwangu?+ Isaya 37:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, miungu+ ya mataifa ambayo mababu zangu waliharibu imeyakomboa,+ naam, Gozani+ na Harani+ na Resefu na wana wa Edeni+ waliokuwa katika Tel-asari?
34 Iko wapi miungu ya Hamathi+ na Arpadi?+ Iko wapi miungu ya Sefarvaimu,+ Hena+ na Iva?+ Je, imekomboa Samaria kutoka mkononi mwangu?+
12 Je, miungu+ ya mataifa ambayo mababu zangu waliharibu imeyakomboa,+ naam, Gozani+ na Harani+ na Resefu na wana wa Edeni+ waliokuwa katika Tel-asari?