13 Kwa maana, tazama! Mfanyizaji wa milima+ na Muumba wa upepo,+ Yeye anayemwambia mtu wa udongo shughuli zake za akilini,+ Yeye anayefanya mapambazuko kuwa giza,+ na Yeye anayetembea mahali pa juu pa dunia,+ Yehova Mungu wa majeshi ndilo jina lake.”+