Ezekieli 28:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “ ‘ “Moyo wako ulikuwa na majivuno kwa sababu ya urembo wako.+ Uliiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako inayong’aa.+ Nitakutupa chini.+ Nitakuweka mbele ya wafalme, ili wakutazame.+
17 “ ‘ “Moyo wako ulikuwa na majivuno kwa sababu ya urembo wako.+ Uliiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako inayong’aa.+ Nitakutupa chini.+ Nitakuweka mbele ya wafalme, ili wakutazame.+