Methali 27:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kama ndege anayekimbia kiota chake,+ ndivyo alivyo mtu anayekimbia mahali pake.+ Isaya 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na itatukia kwamba, kama swala aliyefukuzwa na kama kundi ambalo halina mtu wa kulikusanya pamoja,+ watageuka, kila mmoja kwenda kwa watu wake mwenyewe; nao watakimbia, kila mmoja kwenda katika nchi yake.+ Yeremia 48:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Simama tuli na kuiangalia njia, Ee mwanamke mkaaji wa Aroeri.+ Muulize yeye anayekimbia na yeye anayeponyoka. Sema, ‘Kumetokea nini?’+
14 Na itatukia kwamba, kama swala aliyefukuzwa na kama kundi ambalo halina mtu wa kulikusanya pamoja,+ watageuka, kila mmoja kwenda kwa watu wake mwenyewe; nao watakimbia, kila mmoja kwenda katika nchi yake.+
19 “Simama tuli na kuiangalia njia, Ee mwanamke mkaaji wa Aroeri.+ Muulize yeye anayekimbia na yeye anayeponyoka. Sema, ‘Kumetokea nini?’+