Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 27:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kama ndege anayekimbia kiota chake,+ ndivyo alivyo mtu anayekimbia mahali pake.+

  • Isaya 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na itatukia kwamba, kama swala aliyefukuzwa na kama kundi ambalo halina mtu wa kulikusanya pamoja,+ watageuka, kila mmoja kwenda kwa watu wake mwenyewe; nao watakimbia, kila mmoja kwenda katika nchi yake.+

  • Yeremia 48:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Simama tuli na kuiangalia njia, Ee mwanamke mkaaji wa Aroeri.+ Muulize yeye anayekimbia na yeye anayeponyoka. Sema, ‘Kumetokea nini?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki