Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo Kaini akaenda zake kutoka usoni pa Yehova+ na kukaa katika nchi ya Ukimbizi upande wa mashariki wa Edeni.

  • Kutoka 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baadaye Farao akasikia juu ya jambo hilo, naye akajaribu kumuua Musa;+ lakini Musa akakimbia+ toka kwa Farao apate kuishi katika nchi ya Midiani;+ naye akaketi kando ya kisima.

  • 1 Samweli 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Hata hivyo, Daudi akasema moyoni mwake: “Sasa mkono wa Sauli utanifagilia mbali siku moja. Hakuna jambo bora kwangu kuliko kuponyoka+ bila shaka, niende katika nchi ya Wafilisti;+ na Sauli atakata tamaa ya kunitafuta tena katika eneo lote la Israeli,+ nami nitaponyoka kutoka mkononi mwake.”

  • 1 Wafalme 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi akaamka, akala na kunywa, naye akazidi kwenda katika nguvu za chakula kile kwa siku 40,+ mchana na usiku, mpaka Horebu, mlima wa Mungu wa kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki