Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na jeshi lote la Wakaldayo lililokuwa pamoja na mkuu wa walinzi likazibomoa kuta za Yerusalemu, kuzunguka pande zote.+

  • Nehemia 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi wakaniambia: “Wale waliobaki, ambao wamebaki kutoka utekwani, kule katika wilaya ya utawala,+ wako katika hali mbaya sana+ na katika aibu;+ na ukuta+ wa Yerusalemu umebomoka, na malango+ yake yameteketezwa kwa moto.”

  • Maombolezo 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova amemeza, hakuonyesha huruma juu ya makao+ yoyote ya Yakobo.

      Katika hasira yake amebomoa ngome+ za binti Yuda.

      Ameangusha chini,+ ametia unajisi ufalme+ na wakuu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki