3 Nawe uzipeleke kwa mfalme wa Edomu+ na kwa mfalme wa Moabu+ na kwa mfalme wa wana wa Amoni+ na kwa mfalme wa Tiro+ na kwa mfalme wa Sidoni+ kwa mkono wa wajumbe wanaokuja Yerusalemu kwa Sedekia mfalme wa Yuda.
6 Na sasa mimi mwenyewe nimezitia nchi hizi zote mkononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babiloni,+ mtumishi wangu;+ na nimempa hata wanyama wa mwituni ili wamtumikie.+