6 Basi mfalme na watu wake wakaenda Yerusalemu kupigana na Wayebusi+ wanaokaa katika nchi, nao wakaanza kumwambia Daudi: “Wewe hutaingia humu, lakini bila shaka vipofu na vilema watakufukuza,”+ wao walikuwa wakifikiri: “Daudi hataingia humu.”
4 Kwa nini unajigamba kuhusu nchi tambarare ya chini,+ nchi yako tambarare ya chini inayotiririka, Ee binti usiye mwaminifu, wewe unayezitegemea hazina zako,+ ukisema: “Ni nani atakayenijia?”’”+
3 Kimbelembele cha moyo wako ndicho kimekudanganya,+ wewe unayekaa katika makimbilio ya mwamba,+ kwenye kilele ambapo yeye hukaa, akisema moyoni mwake, ‘Ni nani atakayenishusha chini duniani?’