6 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, usiwaogope;+ wala maneno yao usiyaogope, kwa sababu kuna wakaidi+ na vitu vinavyokuwasha+ nawe unakaa katikati ya nge.+ Maneno yao usiyaogope,+ nawe usiingiwe na hofu+ kwa sababu ya nyuso zao, kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi.+