15 Ndipo malaika wa Yehova akamwambia Eliya: “Shuka, uende pamoja naye. Usiogope kwa sababu yake.”+ Basi akasimama, akashuka na kwenda pamoja naye kwa mfalme.
17 “Nawe unapaswa kufunga mshipi viunoni mwako,+ na kusimama na kuwaambia kila jambo ambalo mimi ninakuamuru. Usiwe na hofu yoyote kwa sababu yao,+ ili mimi nisikutie hofu mbele yao.