2 “Simama katika lango la nyumba ya Yehova, nawe utangaze hapo neno hili,+ na kusema, ‘Sikieni neno la Yehova, ninyi nyote wa Yuda, mnaoingia katika malango haya ili kumwinamia Yehova.
2 “Yehova amesema hivi, ‘Simama katika ua wa nyumba ya Yehova,+ nawe useme kuhusu majiji yote ya Yuda yanayokuja kuinama katika nyumba ya Yehova, useme maneno yote nitakayokuamuru uwaambie.+ Usiondoe hata neno moja.+