Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 1:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Mara moja Benaya mwana wa Yehoyada akamjibu mfalme na kusema: “Amina!+ Yehova, Mungu wa bwana wangu mfalme na aseme vivyo hivyo.+

  • Zaburi 41:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yehova Mungu wa Israeli na abarikiwe+

      Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.+

      Amina na Amina.+

  • Yeremia 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa kusudi la kutimiza kiapo nilichowaapia mababu zenu,+ kuwapa nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kama ilivyo leo hii.’”’”

      Nami nikajibu na kusema: “Amina, Ee Yehova.”

  • 2 Wakorintho 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana hata ahadi+ za Mungu ziwe nyingi kadiri gani, zimekuwa Ndiyo kwa njia yake.+ Kwa hiyo kupitia yeye pia “Amina”+ husemwa kwa Mungu kwa ajili ya utukufu kupitia sisi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki