1 Wafalme 1:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Mara moja Benaya mwana wa Yehoyada akamjibu mfalme na kusema: “Amina!+ Yehova, Mungu wa bwana wangu mfalme na aseme vivyo hivyo.+ Zaburi 41:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova Mungu wa Israeli na abarikiwe+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.+Amina na Amina.+ Yeremia 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 kwa kusudi la kutimiza kiapo nilichowaapia mababu zenu,+ kuwapa nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kama ilivyo leo hii.’”’” Nami nikajibu na kusema: “Amina, Ee Yehova.” 2 Wakorintho 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana hata ahadi+ za Mungu ziwe nyingi kadiri gani, zimekuwa Ndiyo kwa njia yake.+ Kwa hiyo kupitia yeye pia “Amina”+ husemwa kwa Mungu kwa ajili ya utukufu kupitia sisi.
36 Mara moja Benaya mwana wa Yehoyada akamjibu mfalme na kusema: “Amina!+ Yehova, Mungu wa bwana wangu mfalme na aseme vivyo hivyo.+
13 Yehova Mungu wa Israeli na abarikiwe+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.+Amina na Amina.+
5 kwa kusudi la kutimiza kiapo nilichowaapia mababu zenu,+ kuwapa nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kama ilivyo leo hii.’”’” Nami nikajibu na kusema: “Amina, Ee Yehova.”
20 Kwa maana hata ahadi+ za Mungu ziwe nyingi kadiri gani, zimekuwa Ndiyo kwa njia yake.+ Kwa hiyo kupitia yeye pia “Amina”+ husemwa kwa Mungu kwa ajili ya utukufu kupitia sisi.