27 Na sasa ujichukulie wajibu na kuibariki nyumba ya mtumishi wako ili iendelee mpaka wakati usio na kipimo mbele zako;+ kwa maana wewe mwenyewe, Ee Yehova, umebariki, nayo imebarikiwa mpaka wakati usio na kipimo.”+
6 ndiyo, Yeremia nabii akasema: “Amina!+ Yehova na afanye hivyo! Yehova na ayatimize maneno yako ambayo umetoa unabii kwa kuvirudisha tena mahali hapa kutoka Babiloni vyombo vya nyumba ya Yehova na watu wote waliohamishwa!+