7 Tangu siku za mababu zetu+ tumekuwa katika hatia kubwa mpaka leo hii;+ na kwa sababu ya makosa yetu, sisi wenyewe, wafalme wetu,+ makuhani wetu,+ tumetiwa mikononi mwa wafalme wa nchi hizi kwa upanga,+ kwa kutekwa+ na kuporwa+ na kwa aibu ya uso,+ kama ilivyo leo hii.